Page:Swahili tales.djvu/489

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
469
POEM OF LIONGO





Imekoma, nimeisha shairi la vituo vitano ninaotunga,
Za Liongo jumbe nimekwisha kuimaliza.
Aonaye neno la kuharibika akiliondoa hana matayo,
Hupata ajira atakayomliim Muungu mpaji siku ya kuja-
ziwa walipwapo wabaya na wema.