Page:Swahili tales.djvu/488

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
468
MASUAIRI YA LIONGO.


Mwanzi ata kichio na wachao sendanye nao,
Nao fawitlii umuri kwa Muungu anusurao,
Siche ya ziumbe na zituko wakutishao.
Kufa kwa Muungu na sliabuka limkutao ; si kwa wali-
mwengu mivi kikwi ingakufuma,

Watetea jalia woka nyoyo wasio changa
Watwa miwili wakalisha misu na panga
Waondoao thuli penyi 'ari wakaitenga.
Si simba mikia wameao vuzi na singa; siniba masliujaa
wasabili ngozi na nyama.

Tamati nishize takhamisi kinaatbimu
Ya Lionga fumo nimaziye kuikbitimu,
Mwona lahani akitoa baua laumu,
Wapata ajira kumlipa Mola karimu; siku ya majaza wali-
pwapo wawi na wema.




Rafiki acha uoga na waogopao usifuatane nao,
Nao mwachie maisba kwa Muungu aponyaye,
Usiche mambo ya viumbe na kbofu yakuogofishayo.
Kufa ni kwa Muungu na sbabuka yarapatao; si kwa
walimwengu, mishare alfu ikikuchoma.

Wagombea jaba zimenyoka nyoyo wasioogopa malaana,
Hutwaa maungo wakalisba sime na panga,
Waondoao unyonge penyi ari wakaiwcka kando.
Si simba mwenyi mkia waotao nyele za sbingo na mgongo,
lakini simba ni watu masbujaa waacbiliao ngozi na
nyama.