Page:Swahili tales.djvu/490

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
470
POEM OF LIONGO


Na mwenyi kutunga mbaarifu yakwe isimu,
Ni Abdallah Muyuweni mumfahamu,
Ibun Ali bun Nasiri mwenyi makamu,
Farii ya Makka shimukati lao Farimu; fungu la Muthari,
Mutalibu na Hashima.

Nipulikizani na sabuye niwakbubiri
Ni Ali Sbeklii maulana Abubakari,
Ibun Salim mauusabu ya kukhitari,
Mungi wa karama buruhani na mashuhuri ; kwa zamani
zakwe hakwalina kamaye kama.




Na mwenyi kutunga nawaarifu jina lake,
Ni Abdallah Muyuweni iwelee,
Ibun Ali bun Nasiri mwenyi utukufu,
Utawi wa Maka, asili ya chimbuko lao Farimu, kizao
cha Mutbari, Mutalibu na Mashima.