Page:Swahili tales.djvu/486

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
466
MASHAIRI YA LIONGO.


Kilizacho simba ni matule kulla matufu,
Simba uwalia elewani nawaarifu,
Sithanie simba muu mane wenda 'arufu
Simba bora ndume watetea jalia na cheo; watetea jaha
hatta mato yakafunama.

Ana mi shujaa simba uclole mwondoa 'ari,
Mvunda kilaa na busimi kizidabiri,
Naipiga kifa baitia katika sbari.
Sichi mata zao na mafumo yanganawiri ; mangi mafumati
na magao mawi ya nyuma.

Ana ndimi simba mfiliye jaba na cheo,
Naipiga kati kawanesa wajibagao,
Sicbe aduizo kukutana kwa ungi wao.
Sichi kikwi chao nami imie ndio nilio moyo waugu kikwi
kwa ajili ya kusbagama.

Ndimi akabiri uteteo wangu murua,
Thili siikii-i ya kiumbe mnknlukna,
Naakua anjari penyi kikd kaisbambna.
Kifa tenda ngao paziwapo kipazua ; nisikbofu miwa wala
tome za kunitoma.




Kilizacbo simba ni manyonge killa maovu,
Simba hulia fabamuni nawaambia,
Si nitbanie simba mwenyi miguu minue afuataye arufu.
Simba bora ndume bugomboa jaba na cheo, hugombea jaba
batta macho yakafumbaua.

Mimi shujaa simba mwenyi kucba aondoaye ari,
Avundaye gereza na ugome kwa biLa,
Hujipiga kifua chaugu nikajitia katika shari.
Siogopi nyuta zao ua mafumo na ingameta ; wengi
waliotandika chini na wenyi kukimbia wanaorudi kwa
nyuma.