Page:Swahili tales.djvu/485

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
465
POEM OF LIONGO





Ole wake mwoga aogopaye kufa asiyekuwaza,
Na kufa si sunna ni farathi ya iliokadiriwa,
Ole wake mwoga aogopaye kufa hapati heshima,
Akuta mpeo na hizaya na unyonge kwa kuogopea roho, na
mwisho wake waja kuhama.

Nikiona ari, ulimwengu wauichukiza
Moyo ukinayi hatta ndani ukawa na kiza
Na nje ya kope chozi la unyonge likipita.
Simba hulia kwa kilio, akivumiza kilio kikuu kimtiacho
mtu huruma.