Page:Swahili tales.djvu/484

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
464
MASHATRI YA LIONGO.


Ewe mbasi yangu twambe kwamba huitabiri,
Kiuinbe mweuzio huwezaye iaikuhasiri ?
Tetea hakio ujitie katika sbari.
Siche mata yao ua mafumo yanganawiri ; maugi mafumati
na magao maoya nyuma.

Ni upi mchayi kicho cliakwe kimokoao ?
Na mjaliasiri umurie ipuuguwao ?
Mwauzi ata kicho na wacbao saudauye nao,
Wangapi wachao utamboni waugamiao ; na wazimbiao
utamboni wakisiama.

Bolewe mchayi mcha kufa asiofikira,
Na kufa si suna ni faratbi ya mkadara,
Bolewe mchayi mcha kufa bapati 'ura.
Akuta mpeo na bizaya na mubakara ; kwa kuchea roho na
mwisoe yaja kutama.

Nionapo 'ari ulimwengu wanitukiza,
Moyo ukiuayi batta ndani ukawa kiza,
Na nde mwa kope tozi tule likituuza.
Simba uwalia kwa kilio akivumiza ; kilio kikuu
kifishacho mtu huruma.




Ewe rafiki yangu tuseme kwamba zingatii,
Kiumbe mwenzio buwezaje kukuhasiri?
Gombea baki yako ujitie katika sbari.
Usiogope mishale yao na mikuki na ingang'ara; wangi
hupiga chini na geukao na warudiao nyuma.

Nani aogopaye kicbo chake kikamponya?
Na mtu mjasiri umri wake upungukao?
Ee raliki acba kbofu na waogopao usifuataue nao.
Wangapi waogopao vitani wakafa, na wasimamao vitani
wakavuka.