Page:Swahili tales.djvu/483

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
463
POEM OF LIONGO





Siogopi kumtenda anitendaye mabaya ya uovu,
Kama alivyotuhubiri katika chao chakwe mwenyi ukuu,
"Ya unitendapo tendani kana mlivyotendwa"
Pindi uonapo moto wa vita ukinguruma, la Allah nikawa
mimi niuwashao pamoja nikauzima.

Nani aurudiye moyo wangu uwishapo twaa nguvu?
Nigombeapo cheo hatta mtu simtambui,
Ni kama watu hao mfano wao kama mabedawi.
Najikuujakunja nikajitia katika wabaya; nikachinja ki-
chinja nikaupa rathi moyo wangu.