Page:Swahili tales.djvu/482

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
462
MASHARI YA LIONGO.


Ningashahadize Korani yangu kalina,
Ilia uketeze kuwa uyimbo Mola karima,
"Wamá litiwa bi skairi kalilama."
Tufutufu mayi kizimbwiui yawanguruma ; ha'mwezi
kwima luiskapo wdmbi Ungama.

Ata maagano na makato ujikatayo,
Sangase mkono kumtenda akutendayo,
Kumlipa deni mtu kata akujiasayo.
Sipepese moyo kupepesa kwa uuwayo ; mtawapoua aduizo
wakula nyama.

Sange kumtenda mnitenda mawi yetama,
Kama chiambileo chuonimwe mwenyi atliama,
"Wa in 'akabitiim fakakibu bi mitbilima."
Pindi uonapo moto zita ukinguruma ; la Allah, ni mimi
niwashao maa kazima.

Nyani muurudi moyo waugu hukisakawi ?
Teteapo cheo hatta mtu simtambui,
Ninga watu sao ja mfano kama badui.
Naikutakuta kayatia katika wawi ; katinda kitinda ari-
thisha wangu mtima.




Ningalishudiza Korani yangu maneno
Lakini amekataza kuwa nyimbo Mola Karimu,
Hakuwaye kuwa mwimba nyimbo kabisa.
Cheumkoclieumko la maji katika kilindi zangurnma ;
ha'mwezi kusimama lirushapo wimbi katika
Ungama.

Acha mashuari na matendo ya moyo ujitendao,
Usizuie mkono kumtenda mambo akutendayo,
Kumlipa deni mtu kipimo akukopesheayo;
Usitie wasiwasi moyo kutagliafali na uuwaye ; na kwamba
hukuua aduizo watakula nyama.