Page:Swahili tales.djvu/481

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
461
POEM OF LIONGO





Kutamani kiumbe pindi mambo yakimpinga,
Pale jangwani adui zake akiwaona,
Awavuuja utosi na mifupa ya mitulinga.
Ningalikuwa ndege mkali nikiruka maingaingani, nikila
nyama vidogo hatta simba mkuu wa nyama.

Ningaliwakatakata kwa panga na kwa kisu,
Na sime mkali nikiipeleka juu na chini,
Nikivuma kama mwamba usio pahali pa kuingilia
ghathabu na machungu.
Lakini miguu yangu yote miwili kuwa pinguui ; na
shingoni mwaugu nimevikwa mnyoo wa chuma.