Page:Swahili tales.djvu/480

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
460
MASHAIRI YA LIONGO.


Napa kwa Miiuugu na Muungii ili kiapo,
Nampenda mtu pindi naye auipendapo,
Bali ndngii yangu 'ari punde ambagazapo.
Ninga mana kozi sioneki niwakuapo ; ni mui wa nyuni
naakua katika jama.

Wallalhi nitliiika saya yangu si maongope,
Teteapo cheo kiwa muyi uawa meupe,
Nimpapo iiso aduiye sliatti akope.
Ninga mana taya sliirikeni na mana tope ; na mlislia
yani lenyi tani na zingulima.

Laiti kiunibe pindi mambo yakimpinga,
Papale angaui aduise akawaenga,
Awavunda paa na mifupa ya mitulinga.
Niugali kipungii niusbile katika anga ; kila uyama toto
hatta simba mkuu nyama.

Ningatindangile kwa sayufu na kwa sakini,
Na musu mkali kiiipeka juu na tini,
Kivuma ja niwamba usokaa nili na kani.
Bali muu yangu yu mawili kuwa pinguni ; ua sbingoni
mwaugu nawisbiwa peto la chuma.




Naapa kwa Muungu na Muungu ni kiapo,
Nampenda mtu maadam naye anipendapo,
Lakiui ndugu yangu ari kidogo anikuvizapo.
Ni mfano wa mtoto wa kipauga sionekani nikamatiipo ; ni
mbaya wa ndege uakamata katika jamaa.

Mimi nikaapa nikifungwa bora yangu si uwongo,
Nigombeapo daraja akiwa mbaya mwenzi buwa mweupe,
Nikimkabili kwa uso adui sburuti aiinyane.
Huwa kama mtoto wa nyama ya mwitu aliyesbarikana na
mana wa mwitu ua mlisba majaui ya maboonde na ya
vilima.