Page:Swahili tales.djvu/479

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
459
POEM OF LIONGO





Siingii katika vita nisipokuwa na jambo kupiga kifua,
Kwa ajili ya kusifiwa ambazo ni mbaya sifa
Hitegemea vita bora huvitenda khafifu.
Mimi ni mwana shujaa nipendaye mapenzi ya kufa, kwa
kuogopa hizaya na adui wa kunisema.

Nikiona vita nikiugua naona afya,
Nikaona furaha kania harusi siku ya kutiwa nyumbani,
Huwelekeza moyo kwa Muungu jjasipo kinyuma.
Mimi ni mwana wa simba, apendaye mapenzi ya kufa, kwa
kuogopa hezaya na adui kuniona nyuma ya watu.