Page:Swahili tales.djvu/500

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
480
UTUMBUIZO WA GUNGU.


Yapejeto maji ya zabibu
Kimiiyesha kama mua shizi.
Kimlisha akimrehebu
Kimwonya kwema maozi.
Kimlisha tambuu ya Siu,
Ya layini layini ya Ozi,
Kiukuta kuno kimwakiza,
Kwa iliki pamwe nn jozi.
Nikumele kusifu mbeja
Mteule wangu Mananazi.

GUNGU LA KUKWAA.

Mama, nipeeke, haoe kaoe
Urembo na shani Ungama,
Haoe mnara mpambe mpambe,
Uzainyeo heshima.
Na wenyi kupamba patoto patoto.
Wavete vitiudi na kama,




Imetiwa maji ya zabibu
Akimoywesba kama muyua tembo.
Akimlisba akimrai
Akimwonyesba kwema malazi.
Akimlisba tambuu ya Siyu,
Laini laini ya Ozi,
Akaikunja akimtia kinwani,
Na iliki pamoja na lozi.
Nimekoma kusifu mwanamke
Wa kuchagua waugu Mananazi.