Page:Swahili tales.djvu/498

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.
478
UTUMBUIZO WA GUNGU.


Akiinua mkonowe mwana
Kaupeeka juu la mwanzi.
Akaangua kisuto clia kaye,
Cha kinisi chema matorazi,
Ka'mweka kituzo cha mato,
Buni ami, mwana wa shangazi.
Kimwambia, bwana na tukae,
Siimemno, ukataajazi.
Nitiani hoyo Timi aye,
Na anguse, ate masindisi,
Apakue pilao ya Hindi,
Mzababu isiyo mtuzi.
Ete kiti chema cha Ulaya,
Na sinia ujema ya Shirazi
Munakaslii inakishiweyo,
Na sahani liuug'ara ja mwezi.
Kaamuru khodama na waja,
Ai nini hamtnmbiuzi ?
Bassi hapo akamwandikia
Naye Timi yushishiye kuzi,




Akainua mkono Mwana
Akaupeleka jmi ya mwanzi.
Akaangua kisuto cha kikale,
Kizuri kimetariziwa,
Akamweka kitulizo cha macho.
Mwana wa ndugu wa babaye, na mwana wa shangazi.
Akamwambia, Bwana tukae kitako,
Usisimame mno, ukafanye uvivu.
Mwiteni huyo Time aje,
Upesi, awache usingizi,