Page:Swahili tales.djvu/495

From Wikisource
Jump to navigation Jump to search
This page has been proofread.





Nikitoka kufanya shughuli,
Huwaambia watumishi wake,
Akamwambia Sada na Rehema
Pikeni msikawilie.
Pikeni, mfanya upesi,
Mpike wali na mchuzi.
Akiniona nimekawilia,
Humtuma kijakazi chake.